Mashindano hayo yatafunguliwa na Mkuu wa Vyombo vya Mahakama vya Iran Ayatullah Mahmoud Hashimi Shahroudi.
Zaidi ya washindani 80 kutoka nchi 52 duniani wamekwishawasili nchini Iran kwa ajili ya mashindano hayo.
Majaji wa mashindano hayo ya kimataoifa ya Qur'ani wanatoka nchi za Syria, Iraq, Uturuki, Yemen, Misri na mwenyezi Iran.
Sherehe za kuhitimisha mashindano hayo zitafanyika Ijumaa ijayo kwa hotuba ya Rais Mahmoud Ahmadinejad wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran. 435389