Kwa mujibu wa mwandishi wa IQNA, mashindano hayo yanafanyika katika fremu ya Tamasha ya Mwezi wa Ramadhani ya taasisi ya Turath al Emarat.
Mashindano hayo yatakuwa katika vitengo viwili vya wanawake na wanaume na kwa mara ya kwanza yatafanyika kitaifa.
Wasimamizi wa mashindano hayo wanasema majaji watajumuisha maustadhi wa kiraa pamoja na maulamaa wa Kiislamu wa Imarati.
:633495