IQNA

Tovuti ya Mtandao wa Kiislamu wa Wanawake kuzinduliwa

9:32 - October 19, 2010
Habari ID: 2015455
Tovuti ya Mtandao wa Kiislamu wa Wanawake wasomi katika Ulimwengu wa Kiislamu itazinduliwa katika kikao cha mawaziri wa sayansi wa Jumuiya ya Nchi za Kiislamu OIC nchini Malaysia.
Kwa mujibu wa Idara ya Mahusiano ya Umma ya Mtandao wa Kiislamu wa Wanawake Wasomi katika Ulimwengu wa Kiislamu, tovuti hiyo yenye anwani ya www.inws.org itazinduliwa pambizoni mwa kikao cha mawaziri wa sayansi wa Jumuiya ya Nchi za Kiislamu OIC nchini Malaysia kitakachofanyika kati ya tarehe 19-22 Oktoba nchini Malaysia.
677849
captcha