Kwa mujibu wa tovuti ya gazeti la The Peninsula' mahujaji watasimama Arafa tarehe 15 Novemba na siku itakayofuata watafanya amali za Idul Adh'ha.
Wakuu wa Saudi Arabia wametangaza kuwa kuwa mahujaji milioni mbili watashiriki katika ibada ya hija ya mwaka huu.
690582