Kongamano hilo limeandaliwa na Kituo cha Qur'ani cha Tehran kwa lengo la kuwaenzi maqari, wataalamu na wanaharakati wa Qur'ani mjini Tehran.
Gholamreza Rabieian, Nasrollah Ghasemi, Ali Soleymani, Majid Davoodi na Shamsi Ahmadi ni kati ya maqari watakaoenziwa katika kongamano hilo.
Kongamano hilo hufanyika kila mwaka katika Msikiti wa Jamia wa Imam Sadeq (AS) na kuhudhuriwa na idadi kubwa ya waumini wanaoihudumia Qur'ani Tukufu.
695497