Kwa mujibu wa mwandishi wa IQNA, kambi hiyo imeandaliwa kwa ushirikiano wa Kitengo cha Ustawi wa Kiislamu cha Malaysia JAKIM na inakusudia kulea kizazi cha wananchi watiifu walio tayari kukabiliana na changamoto za maisha na kufuzu katika maisha ya dunia na akhera.
Taarifa iliyotolewa imesema washiriki wa kambi hiyo watapewa mafunzo na wanachuo wa vyuo vikuu vya Malaysia.
Watoto wa Malaysia wana muda wa kufikia tarehe 3 Disemba kujiandikisha kwa ajili ya kushiriki katika kambi hiyo.
699816