Meya wa Makkah Dr. Osama bin Fadhl al Bar amesema ndege za Wizara ya Kilimo zitatumika kunyinyiza dawa za kusafisha maeneo matakatifu na kuangamiza vijidudu maradhi. Aidha wafanyakazi elfu kumi na tatu wakiwa na mashine elfu moja mia mbili za usafi wameanza zoezi za kuusafisha mji mtakatifu wa Makka.
Zoezi hilo la usafishaji litajumuisha maeneo matakatifu ya mji wa Makkah kama vile Mina, Arafat, Muzdalifa na maeneo ya karibu.
699959