Kikao hicho kinasimamiwa na shirika la IQNA likishirikiana na Taasisi ya Utamaduni na Uhakiki ya Imam Mussa Sadr.
Kikao hicho kitahutubiwa na Dakta Ghulamreza Zakiani, mwanachama wa jopo la elimu la Chuo Kikuu cha Allamah Tabatabai.
Kikao hicho pia kitahudhuriwa na binti ya Imam Sadr Haura Sadr. Watu mbalimbali wanakaribishwa kuhudhuria kikao hicho. 706661