Kwa mujibu wa Taasisi ya Darul Quran ya Wizara ya Elimu mkoani humo wanafunzi hao watapata masomo ya kawaida kwa miezi tisa na baadaye kujiunga na taasisi maalumu za Darul Quran.
Mkuu wa Darul Quran katika mkoa wa Mazandaran Hussein Qurbani anasema kuwa juhudi zinafanyika kuwavutia wanafunzi zaidi katika masomo ya Qurani ili kuimarisha ufahamu wao wa kitabu hicho kitakatifu.
Amesema idadi ya darasa za Qurani zinatazamiwa kuongezeka mkoani humo kwa himaya ya idara ya elimu.
715083