Mashindano hayo ambayo yamesimamiwa na Jumuiya ya Vijana wa Kiislamu ya Karawan yalimalizika kwa kuomba msaada kwa Baraza la Waislamu wa Gambia kuzisaidia kifedha shule za Qur'ani nchini humo.
Mashindano hayo ambayo yamefanyika kwa shabaha ya kustawisha zaidi elimu ya Kiislamu, kutoa mafunzo ya Qur'ani kwa kizazi cha vijana na kuzidisha ushirikiano kati ya jumuiya na taasisi za Kiislamu nchini Gambia, yamewashirikisha wanafunzi wa shule za miji mbalimbali ya nchi hiyo.
Mwishoni mwa mashindano hayo washindi walitunukiwa zawadi. 733549