IQNA

Duru ya 25 ya mashindano ya kiraa ya Qur'ani yafanyika Nigeria

12:00 - February 03, 2011
Habari ID: 2074590
Duru ya 25 ya Mashindano ya usomaji Qur'ani yanafanyika katika jimbo la Bauchi nchini Nigeria tokea Jumapili tarehe 30 Januari.
Kwa mujibu wa tovuti ya punchng, mashindano hayo yameandaliwa na gavana wa jimbo hilo kwa lengo la kuwatambua wasomaji bora wa Qur'ani katika jimbo hilo.
Mashindano hayo ya kila mwaka hufanyika katika vitengo sita ambapo washindi hupata fursa ya kushiriki katika mashindano ya kitaifa ya usomaji Qur'ani. Waandaaji wa mashindano hayo wanasema yanawagharamu fedha nyingi kuyaandaa. 740631
captcha