Maonyesho hayo yatajumuisha vyakula, mavazi, vyombo vya majumbani, mapambo, vitabu, majarida na magazeti, filamu za mafunzo na za kidini na huduma za kibenki na kifedha za Kiislamu.
Maonyesho hayo yatafanyika kwa sabaha ya kuonyesha bidhaa halali za Kiislamu kwa jamii ya Waislamu milioni 15 ya Malaysia na Waislamu wa maeneo mengine duniani. Vilevile yatakuwa fursa ya kuuza bidhaa mpya, kutafuta masoko, kuarifisha makampuni mbalimbali ya uzalishaji na huduma zao na kutathmini matakwa ya watumiaji Waislamu.
Maonyesho hayo yatafanyika kwa simamizi wa Taasisi ya Kimataifa ya Asif. 757899