Muhammad Shahab Ahmad, msomi wa sayansi ya Qur'ani wa Iraq na mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Karbala alihutubia kongamano hilo kuhusu muujiza wa Qur'ani na elimu nafsi.
Muhammad Shahab Ahmad ambaye ameshiriki kwenye kongamano hilo kwa ombi la Chuo Kikuu cha Karbala ametoa ufafanuzi kuhusu muujiza wa kisayansi wa Qur'ani Tukufu na uhusiano wake na elimu nafsi.
Muhammad Shahab Ahmad ni mtaalamu wa maudhui ya muujiza wa Qur'ani na hadi sasa amekwisha hutubia mikutano mingi ya kimataifa akizungumzia mada hiyo. 759946