Kwa mujibu wa mwandishi wa IQNA mjini Damascus, mwanafunzi huyo wa kidato cha pili katika Shule ya Sekondari ya Sharia ya mji wa Aleppo kijijini Torkman Barhameweka rekodi kwa kuhifadhi Qurani nzima katika kipindi kifupi.
Akiwa chini ya muongozo wa mwalimu wake mwanafunzi huiyo alikuwa akihifadhi kurasa 10 za Qurani kila siku katika kipindi cha miezi miwili na nusu.
Mwanafunzi huyo alienziwa katika sherehe iliyofanyika katika Shule ya Shariat wiki jana.
761586