Mashindano hayo ya siku nne yalianza Jumamosi na yanajumuisha washiriki 85.
Hafla ya kutoa zawadi kwa washindi itafanyika Jumanne alasiri.
Washiriki 20 wa kike na kiume watakaofuzu watashindana katika nusu fainali baadaye.
Mashindano hayo huandaliwa kila mwaka na Wizara ya Masuala ya Kidini nchini humo kwa lengo la kuhimiza na kuimarisha kiwango cha qiraa mbali na kuwahimiza Waislamu nchini humo kusoma Qur'ani.
763370