Tarjumi hizo zimechapishwa na shirika la ‘Mushaf Afriqia’ la Khartoum, Sudan kwa ushirikiano wa ISESCO, Jumuiya ya Kimataifa ya Kutangaza Uislamu na Chuo Kikuu cha Kiafrika cha Kimataifa cha Sudan.
Katika tarjumi hiyo ya Juzuu Amma maandishi ya Kiarabu yemetumika kuandika lugha za Kiswahili na Kifulani. Tarjumi hizo ni katika mpango wa ISESCO wa kuandika lugha za Waislamu Afrika kwa maandishi ya Kiarabu.
764086