Viongozi wa harakati na makundi hayo ya Kiislamu walikutana hivi karibuni na kujadili masuala muhimu yatakayopelekea kubuniwa kwa muungano huo muhimu wa kisiasa uliosimama juu ya misingi ya mafundisho ya kidini. Wanazuoni na wahadhiri mashuhuri wa vyuo vikuu ni miongoni mwa wanachama wa kamati kuu ya muungano huo wa baadaye wa Kiislamu. 768488