IQNA

Jeshi la Iran kuandaa vikao 1000 vya Qurani

11:55 - April 12, 2011
Habari ID: 2104543
Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limepanga kuandaa vikao 1000 vya Qurani Tukufu wakati wa msimu wa joto mwaka 2011.
Kwa mujibu wa Kapteni Meydani wa Kituo cha Darul Quran cha Jeshi la Iran, vikao hivyo vitahusisha maafisa wa jeshi na familia zao.
Amesema vitengo vyote vya jeshi la Iran vitashiriki katika mpango huo ambao lengo lake ni kustawisha ufahamiwa Qurani Tukufu na kuinia kiwango cha utamaduni wa Qurani katika jeshi.
Amesema wataalamu wa kimataifa na wanaharakati wa Qurani watashiriki katika vikao hivyo.
772591
captcha