Kwa mujibu wa mwandishi wa IQNA Afrika Mashariki, kozi hii itajumuisha mafunzo kuhusu Seerah ya Mtume Mtukufu SAW, dini ya Kiislamu na kuishi kwa maelewano watu wa dini mbali mbali.
Aidha washiriki wamepewa mafunzo kuhusu utumizi wa hekima katika kuhubiri na namna ya kutekeleza ibada na maamurisho ya kidini.
772293