Kwa mujibu wa mwandishi wa IQNA nchini Sudan, makubaliano haya yametiwa sainia na Adnan bin Khalil Basha Katibu Mkuu wa ya Shirika la Kimataifa la Kiislamu la Misaada na Hassan Maki Mohammad Mkurugenzi wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Afrika Cha Sudan. Makubaliano hayo yametiwa saini mjini Jeddah Saudi Arabia.
Taasisi hizo mbili zitashirikiana katika kuhimiza utoaji misaada na malezi.
Pande mbili zitatumia uzoefu na wataalamu katika kutekeleza shughuli za utoaji misaada kote duniani.
771482