Mashindano hayo yameandaliwa na Idara ya Masuala ya Qur'ani inayofungamana na Wizara ya Wakfu na Masuala ya Kiislamu ya Kuwait. Marefa wa mashindano hayo ni wasomaji mashuhuri wa Qur'ani kutoka nchi za Kiislamu zikiwemo wa Misri, Saudi Arabia, Syria, Morocco na Kuwait. Mashindano hayo yatamalizika rasmi hapo siku ya Jumanne tarehe 19 Aprili. 773600