Kemal Kılıçdaroğlu kiongozi wa chama cha RPP na Mehmet Görmez Mkuu wa Shirika la Masuala ya Kidini la Uturuki pia walishiriki katika semina hiyo.
Erdogan alitoa hotuba kuhusu fadhila za kimaadili za Mtume SAW pamoja na hadithi zake.
Kwa mnasaba wa Wiki ya Umoja na Maulidi ya Mtume SAW inayofanyika kati ya Aprili 14 -20 nchini Uturuki, Shirika la Masuala ya Kidini limezindua tovuti yenye anuani ya www.merhamet.org
774481