Kikao hicho ambacho kitafanyika kwa ushirikiano wa msikiti mkuu wa Lyon kimepangiwa kujadili nafasi ya Uislamu barani Ulaya, vikwazo vinavyowakabili Waislamu katika utekelezaji bora wa majukumu yao ya kidini na pia suala la manufaa ya Uislamu kwa raia wengine wa Ulaya.
Shakhsia na wasomi wa Kiislamu kutoka nchi mbalimbali za Kiislamu na zisizo za Kiislamu wamealikwa kuzungumza katika kikao hicho. 780258