IQNA

Mashindano ya Hifdhi ya Qur'ani Tukufu kufanyika Saudi Arabia

13:57 - May 03, 2011
Habari ID: 2116473
Mashindano ya hifdhi ya Qur'ani maalumu kwa wanachuo wa taaluma ya tiba wa Chuo Kikuu cha Mfalme Fahd yamepangwa kufanyika hivi karibuni katika chuo hicho.
Kwa mujibu wa tovuti ya dent,ksu.edu.sa mashindano hayo yamepangwa kufanyika tarehe 24 Mei kuanzia saa tano na nusu mchana.
wa chuo hicho wamekuwa wakiwatayarisha wanachuo wanaotazamiwa kushiriki kwenye mashindano hayo kwa kuwapa mafunzo na maelekezo maalumu kuhusiana na hifdhi ya Qur'ani Tukufu.
Washiriki wa mashindano hayo watachuana katika hifdhi ya sura mbili za Yasin na ar-Rahman. 785134
captcha