Kwa mujibu wa tovuti ya lebanonfiles, Walebanoni wapatao 50,000 wanatazamiwa kushiriki kwenye maandamano hayo.
Neeraj Sing Msemaji wa Kikosi cha Kulinda Amani Kusini mwa Lebanon UNIFIL amesema kikosi hicho kitashirikiana na jeshi la Lebanon katika kulinda amani na usalama wakati wa kufanyika maandamano hayo.
Waandaaji wa maandamano hayo wamesema kuwa huduma mbalimbali zitatolewa kwa washiriki. 791332