Mashindano hayo yenye anwani ya 'Mashindano ya Mfalme Mohammad' yanajumuisha hifdhi, qiraa ya tarteel na tajwid na yatafanyika katika Msikiti wa Al Sunna katika mji mkuu Rabat kuanzia Agosti 13 hadi 15. Hayo ni kwa mujibu wa Wizara ya Awqaf na Masuala ya Kiislamu Morocco.
Wizara hiyo imetangaza kuwa mashindano ya mchujo yalifanyika katika maeneo mbalimbali ya nchi kwa ushirikiano na idara za kielimu za kieneo.
803221