Kamati hiyo imebuniwa chini ya uenyekiti wa Jasim Ya'qub Naibu Mkurugenzi wa Idara Kuu ya Vijana na Michezo ya Kuwait.
Mashindano hayo yamepangwa kufanyika nchini humo tarehe 25 hadi 29 Septemba.
Kamati hiyo itatekeleza majukumu yake katika fremu ya ratiba ya kamati ya vijana ya sekretarieti ya baraza lililotajwa ya mwaka 2010-2011. 804034