Hayo ni kwa mujibu wa mtaalamu wa Qur’ani na mwalimu Bw. Mahmoud Lotfnia.
Akizungmza na IQNA, amesema hakuna mafanikio yatakayopatikana iwapo vizingiti vilivyopo havitaondolewa. Ametoa wito kwa Wizara ya Elimu ya Iran kusimamia kikamilifu masomo ya Qur’ani ya watoto.
Amesema vituo vyote vya kutoa mafunzo ya Qur’ani kama vile Darul Qur’an vinapaswa kusimamiwa na Wizara ya Elimu ili kuhakikisha kunapatikana mafanikio.
811262