Mafunzo hayo ya ISESCO na Taasisi ya Ulinganiaji wa Kiislamu ya Sudan yatafanyika katika maeneo mbalimbali ya jiji la Khartoum.
Lengo la mafunzo hayo limetajwa kuwa ni kustawisha utamaduni wa kuhifadhi Qur'ani kati ya vijana wa Kiislamu na kutayarisha uwanja mzuri wa kupanua zaidi shule za Qur'ani.
Katika mafunzo hayo wataalamu wa hifdhi ya Qur'ani watafundisha mbinu za kisasa za kutoa mafunzo. 820313