Taarifa ya OIC imesema kuendelea sera hizo za kichochezi za Utawala wa Kizayuni wa Israel ni ukiukwaji wa wazi wa sheria za kimataifa jambo ambalo linailazimu jamii ya kimataifa kuingilia kadhia hiyo.
Profesa Ihsanoglu ameitaka Kamati ya Pande Nne inayojumuisha Umoja wa Mataifa, Umoja wa Ulaya, Russia na Marekani kuchukua hatua za kuzuia ujenzi wa vitongoji hivyo vya Wazayuni na kuhakikisha Wapalestina wanarejeshewa haki zao.
821900