Kikao hicho kitahudhuriwa na Hujjatul Islam Hamid Mohammadi Naibu Waziri wa Utamaduni na Muongozo wa Kiislamu wa Iran anayeshughulikia masuala ya Qur’ani kati ya wataalamu wengine.
Kikao hicho kitakuwa cha mwisho katika mfululizo wa vikao vinavyochunguza nafasi ya misikiti katika kustawisha utamaduni wa Qur’ani nchini Iran.
Washiriki watajadili nafasi ya tafsiri ya Qur’ani katika misikiti.
Vikao vya huko nyuma kati ya mengine vilijadili mipango kadhaa ya kustawisha utamaduni wa Qur’ani miongoni mwa vijana katika misikiti nchini.
826982