Semina hiyo itasimamiwa na Chuo Kikuu cha Nagoya, Chuo cha Mafunzo na Ustawi wa Kibinadamu na Jumuiya ya Maendeleo ya Sayansi ya Japan.
Semina hiyo itachunguza elimu ya juu ya Kiislamu na uwano kati ya sayansi na dini, suala la kuhuishwa matukufu katika elimu za sasa, ustawi wa nguvu kazi, uhuru wa kielimu na kisayansi, haki za binadamu na Waislamu waliowachache au wengi katika jamii ya kiseculari.
Semina hiyo itahudhuriwa na wahadhiri na wanafunzi wa vyuo vikuu kutoka maeneo mbalimbali. 830008