Rasul Oliyazadeh amesema maonyesho hayo yatajumuisha picha 200 zilizochukuliwa katika mwamko wa Kiislamu huko Libya, Misri,Tunisia, Bahrain na Yemen.
Amesema picha hizo zimechaguliwa kutoka picha zilizotumwa na wapiga picha wa nchi hizo na zitaonyeshwa kwa muundo wa posti kadi.
Amesema kuwa picha hizo za mwamko wa Kiislamu pia zitasambazwa katika idara mbalimbali za serikali kote Iran. Amesema picha bado zinaendelea kupokelewa kutoka maeneo mbalimbali duniani.
853661