Haya ni kwa mujibu wa afisa mwandamizi wa Hija nchini Hujatul Islam Hamid Ahmadi. Amesema Misahafu hiyo itakuwa na tarjumi ya Kifarsi ya Ayatullah Makarim Shirazi.
Ameongeza kuwa Mahujaji wote Wairani watapokea zawadi ya Msahafu kabla ya kuanza safari yao ya kimaanawi.
Hujjatul Islam Ahmadi ameendelea kusema kuwa Misahafu hiyo itachapishwa kwa makaratasi ya kiwango cha juu.
862708