Kituo cha habari cha Shirika la Elimu, Sayansi na Utamadu la Kiislamu ISESCO kimeripoti kuwa lengo la warsha hiyo ni kuchunguza mbinu za kisasa za kuhifadhi na kulinda nakala za maandishi ya kale za Kiislamu.
Ofisi ya mwakili wa ISESCO huko Bissau ndiyo inayoseimamia warsha hiyo.
Papa Toumane Ndiaye ambaye ni mtaalamu wa ISESCO anawakilisha shirika hilo katika warsha hiyo. 866823