Kitengo hicho katika maonyesho hayo ambayo ni ya 18 kitafunguliwa katika orofa ya pili ya Muswala wa Imam Khomeini (MA).
Maonyesho hayo ambayo hufanyika kila mwaka mjini Tehran hujumuisha wachapishaji wa magazeti na majarida pamoja na mashirika ya habari kutoka pembe mbalimbali za dunia.
Maonyesho ya mwaka huu yanayofanyika chini ya anwani ya 'Jihadi ya Kiuchumi, Ustawi wa Viwango Bora na Maadili ya Vyombo vya Habari' yalifunguliwa rasmi hapo siku ya Jumanne na yanatazamiwa kuendelea hadi tarehe Mosi Novemba. 887700