Sherehe hizo hizo zitafanyika katika Taasisi ya Al Zahra SA katika eneo huko Markuri. Sherehe nyingine maalumu kwa ajili ya wanawake imepangwa kufanyika Novemba 19 katika taasisi hiyo.
Aidha wanafunzi bora wa Kituo cha Utamaduni cha Imam Sadiq AS wataenziwa katika sherehe iliyoandaliwa kwa mnasaba huo.
898391