Kwa mujibu wa shirika la bahari la Associated Press, kibali kama hicho pia kilikuwa kimetolewa kwa kikundi hicho na mahakama nyingine mjini New York kuweka matangazo kama hayo kaika vituo vya treni ya metro au sub-way mjini humo.
Vitendo kama hivyo vilivyo dhidi ya matukufu ya Kiislamu vimeongezeka nchini Marekani baada ya filamu inayomvunjia heshima Mtume Mtukufu (saw) kutengenezwa nchini humo. 1113931