TEHRAN (IQNA) – Kila mwaka kwa kuanza Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, familia za wenyeji wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) au Imarati hujumuika pamoja zaidi ya wakati wowote mwingine katika makwa.
Waimarati hutumia fursa yaya Baraka za mwezi Mtukufu wa Ramadhani kujumuika pamoja. Lakini mwaka huu hali imebadilika kutokana na kuenea ugonjwa wa COVID-19 ambapo imekuwa vigumu kutekelza baadhi ya ibada, mila na desturi za mwezi huu mtukufu.