waislamu

IQNA

IQNA – Mradi wa kutafsiri Qur'an kwa lugha ya Rohingya umeanzishwa katika mazingira ambapo Waislamu wa Rohingya wamekuwa wakilengwa na dhulma na kufukuzwa kutoka ardhi yao kwa miongo kadhaa. Lengo lake ni kuziba pengo la maarifa ya Kiislamu na kupambana na ukandamizaji wa lugha ya Rohingya.
Habari ID: 3481493    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/09

IQNA-Katika ripoti mpya iliyotolewa na taasisi ya utafiti ya Uswidi, imebainika kuwa idadi kubwa ya wanafunzi Waislamu wamekuwa wakihama shule kutokana na kukumbwa na ubaguzi wa rangi na chuki dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3481482    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/07

IQNA-Zohran Mamdani mbunge Muislamu amechaguliwa kuwa Meya wa 111 wa jiji la New York, mtu wa kwanza mwenye asili ya Asia Kusini na wa kwanza aliyezaliwa barani Afrika kuongoza jiji kubwa zaidi nchini Marekani.
Habari ID: 3481471    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/05

IQNA – Imamu Mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri, Sheikh Ahmad al-Tayyib, amesema kuwa dunia inakumbwa na machafuko na ukosefu wa mantiki, hali ambayo chanzo chake ni kupuuzwa kwa maadili ya kidini na kiutu.
Habari ID: 3481456    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/03

IQNA – Kupitia ukurasa wake wa Facebook, mhadhiri wa chuo kikuu kutoka Misri, Sayed Sharara, amefungua dirisha la kipekee kuonesha maisha ya Waislamu nchini Japani.
Habari ID: 3481455    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/03

IQNA – Polisi nchini New Zealand wanafanya uchunguzi kuhusu tishio la bomu lililolenga Msikiti wa Kilbirnie uliopo Wellington, hali iliyosababisha kusitishwa kwa shughuli zote za msikiti huo kwa muda.
Habari ID: 3481411    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/25

IQNA – Mtandao wa Mazungumzo ya Kiislamu nchini Norway (Islamic Dialogue Network) umezindua tovuti ya kwanza ya kitaifa ya kupambana na chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia), iitwayo stoppmuslimhat.no.
Habari ID: 3481403    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/23

IQNA- Kufuatia ongezeko kubwa la uhalifu wa chuki dhidi ya Waislamu nchini Uingereza, serikali inatarajiwa kutangaza ufafanuzi mpya wa neno “'Chuki Dhidi ya Uislamu' (Islamophobia)”—ambapo huenda likabadilishwa na kuwa “chuki dhidi ya Waislamu.”
Habari ID: 3481402    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/23

IQNA – Jumuiya ya Waislamu wa jiji la Winnipeg, mji mkuu wa jimbo la Manitoba nchini Kanada (Canada), walikusanyika mwishoni mwa wiki hii kusherehekea ufunguzi rasmi wa msikiti mpya katika jiji hilo.
Habari ID: 3481392    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/21

IQNA – Kituo cha Al-Azhar cha Kupambana na Itikadi Kali kimetoa onyo kali kuhusu matumizi mabaya ya teknolojia ya Akili Mnemba (AI) katika kuchochea chuki dhidi ya Waislamu nchini India.
Habari ID: 3481391    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/21

IQNA – "Misikiti katika Uislamu" ni jina la maonyesho ya sanaa yaliyozinduliwa katika Msikiti Mkuu wa Paris, mji mkuu wa Ufaransa.
Habari ID: 3481379    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/18

IQNA – Maktaba ya Kitume ya Vatican imetenga eneo dogo kwa ajili ya watafiti Waislamu kuswali wanapoitembelea.
Habari ID: 3481369    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/15

IQNA – Tume ya Haki za Binadamu ya Australia imeanzisha uchunguzi kufuatia malalamiko dhidi ya Baraza la Wahindu la Australia, likiwemo Rais wake Sai Paravastu na Mkuu wa Idara ya Habari Neelima Paravastu, wakidaiwa kujihusisha mara kwa mara na matamshi ya chuki dhidi ya Uislamu kuanzia Mei 2024 hadi Julai 2025.
Habari ID: 3481273    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/23

IQNA – Mwakilishi wa Misri ameibuka mshindi wa kwanza katika mashindano ya kimataifa ya usomaji wa Qur'ani ya mataifa ya BRICS yaliyofanyika nchini Brazil.
Habari ID: 3481199    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/08

IQNA – Mashambulizi mawili ya hivi karibuni dhidi ya msikiti mmoja huko Greater Manchester nchini Uingereza yamewaacha waumini wakihisi kutokuwa salama, kwa mujibu wa Imam wake.
Habari ID: 3481189    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/06

Ayatullah Mohammad Hassan Akhtari
IQNA – Miongoni mwa malengo makuu ya shughuli na mikakati ya Wiki ya Umoja wa Kiislamu mwaka huu ni kuvuta hisia za dunia kuhusu dhulma na masaibu yanayowakumba ndugu zetu Wapalestina, afisa mmoja amesema.
Habari ID: 3481182    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/04

IQNA – Uchunguzi unaendelea mjini Mississauga, Kanada baada ya mtu mmoja kuharibu msikiti mapema mwezi huu, huku polisi wakisema ni mapema mno kusema iwapo tukio hilo lilichochewa na chuki.
Habari ID: 3481157    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/30

IQNA – Shule ya Upili ya Kiislamu ya Alaeddin huko Pristina, mji mkuu wa Kosovo, imekaribisha mashindano makubwa ya mwaka ya sayansi ya dini hivi karibuni.
Habari ID: 3481145    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/27

IQNA – Mkutano wa 62 wa Mwaka wa Jumuiya ya Kiislamu ya Amerika Kaskazini (ISNA) utaanza huko Rosemont, jimbo la Illinois, Marekani, Ijumaa hii.
Habari ID: 3481144    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/27

IQNA – Watu katika miji na miji midogo kote Australia walijitokeza kwa wingi Jumapili kuonyesha uungaji mkono wao wa dhati kwa Palestina na kulaani ukatili wa Israel huko Gaza.
Habari ID: 3481129    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/24