iqna

IQNA

waislamu
Waislamu Marekani
IQNA - Mapatano yamefikiwa katika kesi inayohusu jela ya Mkoa wa Warren iliyoko Bowling Green, Kentucky, nchini Marekani kuhusu mwanamke Muislamu kunyimwa haki yake ya kidini ya kuvaa Hijabu.
Habari ID: 3478701    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/19

Waislamu Korea Kusini
IQNA - Daud Kim, msanii maarufu wa pop wa Korea Kusini na YouTuber ambaye alikubali Uislamu mnamo 2019, ameanza mradi wa kujenga msikiti huko Incheon, Korea Kusini.
Habari ID: 3478683    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/14

Waislamu Ulaya
IQNA - Sala ya Idul Fitr iliswaliwa na zaidi ya waumini 100 wa Kiislamu katika Msikiti wa Yeni huko Thessaloniki, kaskazini mwa Ugiriki, siku ya Jumatano.
Habari ID: 3478674    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/12

Idul Fitr
IQNA - Ramadhani, mwezi wa ibada na kujitolea, unafikia kilele kwa Waislamu kujiandaa kupokea malipo yao kutoka kwa Mwenyezi Mungu baada ya mwezi wa saumu na ibada.
Habari ID: 3478663    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/10

Salamu za Idul Fitr
IQNA-Rais wa Iran, Ebrahim Raisi, amesema ni wajibu wa kibinadamu na kidini kwa nchi za Kiislamu kukomesha mauaji ya kimbari ya miezi kadhaa ya utawala wa Israel dhidi ya Wapalestina huko Gaza.
Habari ID: 3478661    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/10

IQNA - Wanafunzi wengi katika Chuo Kikuu cha Washington (UW) huko Seattle nchini Marekani wameandamana kupinga ubaguzi na chuki dhidi ya Waislamu.
Habari ID: 3478600    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/29

Waislamu Marekani
IQNA - Huko Houston, Marekani Waislamu wametangaza kususia hafla ya 25 ya kila mwaka ya Futari ambayo kulalmikia mwaliko kwa viongozi wa serikali.
Habari ID: 3478530    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/17

Ramadhani Marekani
IQNA – Mwezi mtukufu wa Ramadhani ulipoanza, mkusanyiko mzuri wa waumini wa Kiislamu ulibadilisha Times Square ya New York kuwa eneo la umoja na ibada.
Habari ID: 3478489    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/11

Waislamu Russia
IQNA – Hafidh wa Qur'ani kutoka Russia amesema Waislamu nchini humo hawana kikomo katika shughuli zao za Qur'ani.
Habari ID: 3478475    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/09

Uislamu Japan
IQNA-Mwanaakademia wa Kijapan, Kayyim Naoki Yamamoto amesema, hisia za chuki dhidi ya Uislamu (Islamopobia) nchini Japan zinaongezeka tangu utawala haramu wa Kizayuni wa Israel ulipoanzisha vita vya kikatili na mashambulio ya kinyama dhidi ya Ukanda wa Ghaza Oktoba 7, 2023.
Habari ID: 3478466    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/07

Ramadhani
IQNA - Barabara kuu ya kati huko Frankfurt, Ujerumani, itapambwa kwa taaza zenye nembo za hilali nyota na mapambo mengine kuadhimisha mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3478463    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/07

Waislamu Russia
IQNA - Kijana mmoja amehukumiwa kifungo cha miaka 3.5 jela nchini Russia kwa kujunjia heshima nakala Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3478430    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/29

Chuki dhidi ya Uislamu Ujerumani
IQNA - Mbunge mmoja nchini Ujerumani ametoa wito wa kujumuishwa kwa sheria za kupinga Uislamu katika katiba ya nchi
Habari ID: 3478416    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/26

Waislamu Uingereza
IQNA - Chama tawala cha Wahafidhina (Conservative) nchini Uingereza kimemsimamisha kazi mmoja wa wabunge wake kufuatia maoni ya chuki dhidi ya Uislamu dhidi ya meya wa London.
Habari ID: 3478415    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/26

Chuki dhidi ya Uislamu Uingereza
IQNA - Idadi kubwa ya matukio ya chuki dhidi ya Waislamu na Uislamu yameripotiwa nchini Uingereza tangu kuanza kwa vita vya mauaji ya kimbari vya Israel dhidi ya Gaza, kulingana na kundi linalofuatilia visa kama hivyo.
Habari ID: 3478403    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/23

Chuki dhidi ya Waislamu
IQNA-Nchini Kanada mtu mwenye misimamo mikali kuwa wazungu ndio watu bora zaidi duniani aliyewaua watu wanne wa familia ya Kiislamu amepatikana na hatia ya ugaidi.
Habari ID: 3478399    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/23

Waislamu Ufaransa
IQNA-Kuongezeka chuki katika ngazi za kisiasa na kijamii dhidi ya wanawake Waislamu hasa wanaovalia hijabu na niqabu nchini Ufaransa kumepelekea idadi kubwa ya wanawake hao waihame nchi hiyo ya Ulaya.
Habari ID: 3478370    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/18

Chuki dhidi ya Uislamu
IQNA - Kiongozi mkuu wa Kiislamu mjini Dublin nchini Ireland alivamiwa na watu wawili katika kile alichokitaja kuwa "uhalifu wa makusudi wa chuki" Alhamisi usiku.
Habari ID: 3478361    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/16

Waislamu Ulaya
IQNA - Mahakama ya Ulaya ya Haki za Kibinadamu ilikataa rufaa dhidi ya sheria nchini Ubelgiji zinazopiga marufuku nyama ya Halal na Kosher.
Habari ID: 3478349    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/14

Waislamu Marekani
IQNA - Kituo cha Kiislamu cha Dawah cha Milwaukee nchini Marekani kimeandaa hafla ya Henna & Hijab siku ya Jumamosi, Februari 3, kuheshimu Hijabu inayovaliwa na wanawake wa Kiislamu.
Habari ID: 3478337    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/11