Waislamu wa China
IQNA – Kwa kutegemea mradi wa kielimu ulioendelea kwa zaidi ya miaka ishirini, Msikiti Mkuu au Msikiti wa Jamia wa Taipei katika eneo la China la Taiwan umejidhihirisha kama mfano wenye mafanikio katika kulea na kuelimisha vizazi vijavyo vya Waislamu.
Habari ID: 3482333 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/07
IQNA – Miaka mitano baada ya washiriki wanne wa familia moja ya Kiislamu kuuawa kwa kugongwa makusudi na gari katika kitendo ambacho jaji amekitaja kuwa ni cha kigaidi, wanajamii katika mji wa London, Ontario nchini Kanada, wamekusanyika kuwakumbuka wahanga hao na kusisitiza upya ahadi yao ya kupambana na chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia).
Habari ID: 3482332 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/07
IQNA – Polisi wanawatafuta washukiwa baada ya msikiti mmoja katika mji wa Moncton, ulioko kusini-mashariki mwa jimbo la New Brunswick nchini Kanada, kuharibiwa kwa maandishi ya kuta (graffiti) yenye chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu. Waumini wa msikiti huo wanasema kitendo hicho ni shambulio lililolenga moja kwa moja jamii yao ya Kiislamu.
Habari ID: 3482328 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/06
IQNA – Miaka mitano baada ya mwanaume mmoja kuendesha kwa makusudi gari aina ya pickup na kuigonga familia ya Kiislamu iliyokuwa ikitembea kwa miguu mjini London, katika jimbo la Ontario, Kanada, na kuwaua watu wanne, kundi la kitaifa la utetezi wa haki za Waislamu limesema kuwa serikali ya shirikisho imeshindwa kutekeleza mapendekezo muhimu ya kukabiliana na chuki dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3482323 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/05
IQNA – Kituo cha Kiislamu cha Vila Cahón huko São Paulo, nchini Brazil, kina nafasi kubwa zaidi ya kuwa taasisi ya kidini pekee.
Habari ID: 3482313 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/02
IQNA – Kituo cha Utamaduni cha Kiislamu katika mji mkuu wa Poland, Warsaw, kimeshuhudia ushiriki mpana wa watu wa dini na tamaduni mbalimbali katika hafla ya “Usiku wa Makumbusho 2026” (Night of Museums 2026).
Habari ID: 3482278 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/24
IQNA – Ingawa hujuma ya kigaidi dhidi ya Msikiti wa San Diefo ilitokea umbali wa zaidi ya maili 2,000, huzuni na taharuki yake zilihisiwa moja kwa moja kote Marekani hadi kusini-mashariki mwa jimbo la Michigan siku ya Jumatano.
Habari ID: 3482267 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/22
IQNA – Kongamano la Tano la Kimataifa kuhusu Utalii na Masuala ya Kiroholinatarajiwa kufanyika mjini Tehran siku ya Jumatano, tarehe 20 Mei.
Habari ID: 3482244 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/16
IQNA – Tishio la mtu mmoja la kufyatua risasi dhidi ya waumini katika msikiti mmoja mjini Brisbane, Australia, limeibua malalmiko duniani kutoa ambapo shirika mashuhuri la haki za kiraia la Waislamu nchini Marekani limetoa tamko rasmi.
Habari ID: 3482230 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/12
IQNA-Wazazi Waislamu nchini Marekani sasa wanatilia mkazo zaidi suala la kuhifadhi Qur’an, jambo linalojulikana kama Hifdh.
Habari ID: 3482186 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/01
IQNA-Eneo la Chinga, katika mkoa wa Nambula huko kaskazini mwa Msumbiji, limeshuhudia ufunguzi wa Msikiti Mkuu wa Kati wa eneo hilo.
Habari ID: 3482181 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/30
IQNA – Kile kilichoanza kama mzaha wa kistaarabu wa “Siku ya Wajinga wa Aprili” hatimaye kimegeuka kuwa kashfa iliyoangusha uongozi wa rais wa klabu moja ya daraja la chini nchini Uhispania.
Habari ID: 3482141 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/15
IQNA – Licha ya kuonywa, baadhi ya wafuasi wa timu ya taifa ya Uhispania walisikika wakipaza kauli ya kudhalilisha Uislamu wakati wa sare ya Jumanne dhidi ya Misri—kitendo kilichomkasirisha mshambuliaji wa Barcelona, Lamine Yamal.
Habari ID: 3482111 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/01
IQNA – Kitendo cha mtu mmoja kuvunjia heshima Qur’ani Tukufu katika msikiti mmoja huko Brooklyn, Marekani kimezua lawama kali, huku polisi wa New York (NYPD) wakichunguza tukio hilo kama uhalifu wa chuki.
Habari ID: 3482105 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/30
IQNA – Baada ya kuonekana au kutokuonekana kwa hilali ya mwezi wa Shawwal katika mabara mbalimbali, Waislamu duniani wanaadhimisha Eid al‑Fitr katika siku tofauti.
Habari ID: 3482075 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/20
IQNA-Rais Donald Trump wa Marekani amesema Wawakilishi wanawake katika bunge la nchi hiyo, ambao ni Waislamu, Ilhan Omar na Rashida Tlaib wanapaswa kurudishwa "walikotoka" baada ya wabunge hao wawili wa chama cha upinzani cha Democratic kupiga kelele na kulalamika wakati wa hotuba ya karibuni ya Trump katika Kongresi.
Habari ID: 3482004 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/27
IQNA — Katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani, dua za Waislamu wa Ufilipino mjini Manila zinabeba ombi maalumu.
Habari ID: 3481996 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/26
IQNA – Maafisa kutoka misikiti 420 walihudhuria mkutano wa kila mwaka wa Kamati ya Masuala ya Kiislamu ya Jimbo la Songkhla nchini Thailand, kwa lengo la kujiandaa mapema kwa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3481868 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/30
IQNA – Wakati kumbukumbu ya miaka tisa tangu shambulio la risasi katika msikiti wa Jiji la Quebec, Kanada (Canada) lililoua waumini sita waliokuwa katika ibada jamii za Kiislamu pamoja na washirika wao wanakusanyika si kwa ajili ya kukumbuka pekee, bali pia kutoa wito wa dharura.
Habari ID: 3481867 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/30
IQNA – Darasa la mafunzo ya Qur’ani linaloendelea katika Kituo cha Kiislamu cha São Paulo linatoa mfano wa vitendo wa jinsi ya kuunganisha Qur’ani, familia, elimu na jamii katika mfumo mmoja ulio thabiti ndani ya mazingira ya msikiti.
Habari ID: 3481827 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/21