IQNA-Harakati ya mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imelaani vikali mauaji ya kiongozi maarufu wa Waislamu wa madhehebu ya Shia, Sheikh Rasoul Shahoud, aliyeuawa katika shambulizi lililotokea katika mkoa wa Homs, Syria ya kati.
Habari ID: 3480939 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/13
IQNA – Maelfu ya watu wamekusanyika Srebrenica siku ya Alhamisi kuadhimisha miaka 30 tangu mauaji ya kimbari ya mwaka 1995, ambapo miili ya wahanga saba waliotambuliwa hivi karibuni imezikwa katika Makaburi ya Ukumbusho ya Potočari.
Habari ID: 3480933 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/12
IQNA-Miaka ishirini baada ya mashambulizi ya 7/7 mjini London, Waislamu wa Uingereza bado wanahisi athari za kihisia na kijamii.
Habari ID: 3480910 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/07
IQNA – Nchi za Afrika zinaendelea kupata umaarufu mkubwa miongoni mwa wasafiri Waislamu, huku vivutio vya nchi za Magharibi vikizidi kupoteza mvuto wao kwa watalii hao.
Habari ID: 3480872 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/30
IQNA – Wabunge wote Waislamu wa Bunge la Marekani wametoa taarifa ya pamoja kulaani mashambulizi ya chuki dhidi ya Uislamu yaliyomlenga Zohran Mamdani, mgombea wa Umeya wa Jiji la New York, ambayo yametokea kutoka kwa wanasiasa wa chama tawala cha Warepublican na hata baadhi ya Wademocrat.
Habari ID: 3480866 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/28
IQNA – Baraza la Mahusiano ya Kiislamu na Marekani (CAIR) limemtaja mbunge katika Bunge la Marekani Randy Fine (R-FL) kuwa “mwenye msimamo mkali wa chuki dhidi ya Waislamu”, likimjumuisha katika orodha yake ya watu wenye chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia), kutokana na kile ilichokiita rekodi ya muda mrefu ya matamshi ya uchochezi dhidi ya Waislamu na Wapalestina.
Habari ID: 3480821 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/11
IQNA – Maelfu ya waumini walikusanyika katika Msikiti wa Kati huko Glasgow, Scotland, kwa sala maalum kuadhimisha Idul Adha.
Habari ID: 3480805 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/08
IQNA – Baraza la Kiislamu la Ufaransa (CFCM) limeitaka Ufaransa na Umoja wa Ulaya kuitambua rasmi Palestina kama nchi huru na kusitisha makubaliano yao ya kisiasa na kiuchumi na utawala wa Israel kutokana na jinai za utawala huo huko Gaza.
Habari ID: 3480716 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/21
IQNA-Msikiti mashuhuri jijini Liverpool nchini Uingereza unakumbwa na changamoto ya uhaba wa nafasi na miundombinu huku ukijitahidi kukidhi mahitaji yanayoongezeka ya huduma za mazishi ya Kiislamu kutoka kwa jamii za ndani na za mikoa jirani.
Habari ID: 3480705 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/19
IQNA – Waislamu wanaosimamia mradi wa ujenzi wa mtaa wao mpya huko Texas, Marekani wamesema uchunguzi wa serikali na shirikisho una dosari.
Habari ID: 3480665 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/10
IQNA – Msikiti mpya umezinduliwa katika mji mkuu wa Ghana kwa ufadhili wa Taasisi ya Misaada ya Qatar .
Habari ID: 3480650 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/07
IQNA-Ripoti mpya ya Taasisiya India Hate Lab (IHL) imebaini ongezeko kubwa la matukio ya hotuba na kauli za chuki katika maeneo mbalimbali nchini India kufuatia shambulio la kigaidi lililotokea Pahalgam, Jammu na Kashmir, mnamo Aprili 21.
Habari ID: 3480633 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/04
IQNA – Msikiti mkubwa zaidi katika mji mkuu wa Ireland umefungwa kwa muda kufuatia mzozo wa ndani
Habari ID: 3480593 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/25
IQNA – Mmarekani mwenye asili ya Kiarabu amefungua kesi ya ubaguzi dhidi ya Shirika la Big Jay’s Auto Sales huko Shelby Township, Michigan, Marekani akidai kwamba mfanyakazi wa shirika hilo alitoa matamshi ya udhalilishaji kuhusu imani yake ya Uislamu wakati wa mazungumzo ya uuzaji wa gari.
Habari ID: 3480592 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/25
IQNA – Wanafunzi watatu Waislamu wa chuo kikuu huko Georgia nchini Marekani wametozwa faini ya kifedha baada ya kudhalilishwa walipokuwa wakiswali katika eneo la maegesho ya umma.
Habari ID: 3480548 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/16
IQNA-Msikiti wa UKIM Sparkbrook Islamic Centre huko Birmingham, Uingereza, umesifiwa kwa kushirikiana na Halmashauri ya Jiji la Birmingham kukusanya tani 120 za taka.
Habari ID: 3480530 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/12
IQNA – Waislamu nchini Singapore (Singapuri) wamejitolea kuchangia nyama kwa watu wa Gaza wakati wa sikukuu ya Idul Adha, kutokana na janga la kibinadamu katika Ukanda huo uliozingirwa na utawala dhalimu wa Israel.
Habari ID: 3480526 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/11
IQNA- Sheria mpya imetangaza Idul Adha na Idul Fitr kuwa sikukuu rasmi katika jimbo la Washington nchini Marekani.
Habari ID: 3480522 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/11
Waislamu Australia
IQNA – Msikiti mmoja mkubwa nchini Australia umeomba rasmi ruhusa ya kuanza kutumia vipaza sauti kuadhini katika kitongoji cha Lakemba, jiji la Sydney.
Habari ID: 3480505 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/07
IQNA – Licha ya ulemavu wa machi, Muhammad Hafizuddin Muhammad Amirul Hakim Linges mwenye umri wa miaka 10 ana uwezo wa kipekee.
Habari ID: 3480482 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/01