Usomaji Qur’ani Tukufu wa kijana huyu mwenye umri wa 20 umewavutia mamilioni katika mitandao ya kijamii
Nureddin, ambaye ni mhitimu wa Kitivo cha Ufundi cha Chuo Kikuu cha Al-Azhar, amehifadhi Qur’ani Tukufu kikamilifu
Anasema anaweza kuiga visomo vya wasomaji 15 mashuhuri, akiwemo Sheikh Abdul Basit Abdul Samad na Sheikh Khalil al-Husari.
Misri ni nchi ya Afrika Kaskazini yenye wakazi wapatao milioni 100. Waislamu ni takriban asilimia 90 ya watu wote wa nchi hiyo.
Shughuli za Qur'ani zimeenea kote katika nchi hii ambayo imeweza kuibua wasomaji Qur’ani(maqarii) bora zaidi katika ulimwengu wa Kiislamu.
4144992