IQNA – Zaidi ya waumini milioni 5.2 wameingia jiji takatifu la Mashhad, lililoko kaskazini-mashariki mwa Iran, kutoka maeneo mbalimbali katika siku za mwisho za mwezi wa Safar uliomalizika jana, amesema afisa mmoja.
Habari ID: 3481131 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/25
IQNA – Mji mtukufu wa Karbala, Iraq, umefurika wafanyaziyara kwa wingi mno katika siku za mwisho ya mwezi wa Safar, kwenye makaburi matukufu ya Imam Hussein (AS) pamoja na ndugu yake, Hadhrat Abbas (AS).
Habari ID: 3481123 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/23
IQNA – Haram Tukufu ya Imam Ali (AS) mjini Najaf imefunikwa kwa vitambaa vyeusi ikiwa ni sehemu ya maandalizi makubwa ya kumbukumbu ya Wafat au kufariki kwa Mtume Muhammad (SAW) itakayoadhimishwa Ijumaa, tarehe 28 Safar.
Habari ID: 3481114 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/20
IQNA – Wosia wa Mtume Mtukufu Muhammad (SAW) kuhusu Ahlul-Bayt (AS), Qur’an Tukufu, na ulazima wa kulinda umoja wa Waislamu unaonyesha dira yake ya kujenga jamii yenye mshikamano na haki, amesema msomi mmoja.
Habari ID: 3481112 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/20
Mwezi wa Safar
IQNA – Wafanyaziara takribani milioni 3 wanatarajiwa kutembelea mji mtakatifu wa Mashhad, kaskazini mashariki mwa Iran, kulingana na afisa mmoja alisema.
Habari ID: 3479353 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/30
TEHRAN (IQNA) Waislamu leo wako katika maomboleo, simanzi na huzuni kubwa kwa mnasaba wa kukumbuka tukio chungu zaidi ya yote la kuaga dunia mbora wa Mitume wa Mwenyezi Mungu, Muhammad bin Abdullah SAW
Habari ID: 3472189 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/10/27