TEHRAN (IQNA)- Mwenyekiti Kitaifawa Baraza la Maimamu na Wahubiri Waislamu Kenya (CIPK) Sheikh Abdalla Ateka ametoa wito kwa wizara ya elimu nchini humo kuchukua hatua za kuzuia kuendelea kubaguliwa wanafunzi Waislamu katika shule za nchi hiyo.
Habari ID: 3471608 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/26
TEHRAN (IQNA) - Waislamu 8 wameuawa baada ya magaidi wakufurishaji wa kundi la Boko Haram kuushambulia msikiti na kuua watu wanane mashariki mwa Nigeria wakati wa Sala ya Alfajiri.
Habari ID: 3471605 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/24
TEHRAN (IQNA) Jamhuri ya Kiislamu ya Iran itashirikiana na Chuo Kikuu cha Umma nchini Kenya ambacho ni chuo kikuu cha kwanza cha Kiislamu katika nchi hiyo.
Habari ID: 3471604 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/23
TEHRAN (IQNA)- Utawala wa Saudi Arabia umemkamata mhubiri maarufu na mtetezi wa haki za binadanu Sheikh Ali bin Saeed al-Hajjaj al Ghamdi ambaye aliwahi kuwa mhubiri katika Al-Masjid An-Nabawi mjini Madina.
Habari ID: 3471602 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/21
TEHRAN (IQNA)- Utawala wa Kizayuni wa Israel umelaaniwa vikali kwa kupitisha sheria mpya ya kibaguzi ambayo inatambua Mayahudi kama bora kuliko Waarabu katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala huo.
Habari ID: 3471601 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/20
TEHRAN (IQNA)- Waislamu nchini Uswizi wamelalamikia ubaguzi unaotokana na kuunasibisha Uislamu na utumiaji mabavu.
Habari ID: 3471600 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/19
TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imeutahadahrisha vikali utawala wa Kizayuni wa Israel, kutokana na hatua yake ya kushadidisha mzingiro katika Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3471599 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/18
TEHRAN (IQNA)- Ousmane Dembele mchezaji wa Timu ya Taifa ya Soka ya Ufaransa ambaye alinawiri katika Kombe la Dunia hivi karibuni nchini Russia ametangaza kuwa atajenga msikiti katika nchi yake ya asili, Mauritania.
Habari ID: 3471598 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/18
TEHRAN (IQNA) – Wagombea ubunge katika mji la Lhokseumawe katika jimbo la Acheh nchini Indonesia wameshiriki katika mtihani wa kusoma Qur'ani Tukufu kama sharti la kushiriki katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2019.
Habari ID: 3471597 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/17
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) –Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyed Ali Khamenei amesisitiza kuwa misikiti miwili mitukufu zaidi katika Uislamu ni ya Waislamu wote duniani.
Habari ID: 3471596 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/16
TEHRAN (IQNA)-Siku kama ya leo miaka 1266 iliyopita, tarehe Mosi tarehe Mosi Dhul Qaadah na kwa mujibu wa baadhi ya riwaya zenye itibari, alizaliwa Bibi Fatwimat Maasuma SA, binti mtukufu wa Imam Musa al-Kadhim bin Ja'far AS ambaye pia ni mmoja wa Ahlul-Bayti wa Mtume Muhammad SAW.
Habari ID: 3471595 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/15
Msikiti wa Lala Mustafa Pasha uko katika mji wa Famagusta, kaskazini mwa Cyprus na ulijengwa katika karne ya 14 Miladia. Jengo la msikiti huo awali lilikuwa ni kanisa na baada ya mji huo kudhibitiwa na Ufalme wa Uthmaniya mwaka 1571,likabdilishwa kuwa msikiti.
Habari ID: 3471594 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/15
TEHRAN (IQNA)- Msichana Mmisri mwenye ulemavu wa macho na ambaye pia aliugua saratani amehifadhi Qur'ani Tukufu kikamilifu.
Habari ID: 3471593 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/14
TEHRAN (IQNA)- Watu wasiopungua 132 wameuawa hii leo katika milipuko ya mabomu yaliyolenga mikutano miwili ya kampeni za uchaguzi nchini Pakistan.
Habari ID: 3471592 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/13
TEHRAN (IQNA)- Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetangaza kuwa itatuma msafara wa Qur'ani Tukufu, katika Ibada ya Hija mwaka huu nchini Saudi Arabia.
Habari ID: 3471591 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/12
TEHRAN (IQNA)- Wanaume wawili Waislamu kutoka mji wa Tetova nchini Albania hivi sasa wako safarini kuelekea katika mji mtakatifu wa Makka kutekeleza ibada ya Hija kwa baiskeli.
Habari ID: 3471590 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/11
TEHRAN (IQNA)-Kituo cha Utamaduni cha Iran nchini Senegal kimetangaza utayarifu wake katika kuisaidia nchi hiyo kuimarisha shule au Madrassah za Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3471589 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/10
TEHRAN (IQNA)-Binti Aisha Nikuze amekuwa msichana wa kwanza kufika katika fainali ya Mashindano ya 7 Kimataifa ya Qur'ani ya Rwanda yaliyofanyika mwezi uliopita.
Habari ID: 3471588 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/09
TEHRAN (IQNA)- Afisa wa ngazi za juu wa masuala ya Hija katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa wito kwa wale waliopanga kutekeleza ibada ya Hija wajitayarishe kikamilifu ili wanufaike kikamilifu na fursa hii nadra katika maisha ya Mwislamu.
Habari ID: 3471587 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/08
TEHRAN (IQNA) – Serikali ya Australia imemkamata Kasisi wa Kanisa la Baptist ambaye amekuwa akiwakera Waislamu katika misikiti miwili mjini Brisbane.
Habari ID: 3471586 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/07