TEHRAN (IQNA) - Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limewapiga risasi na kuwaua shahidi wapigania ukombozi kadhaa wa Palestina akiwemo kamanda mmoja wa ngazi za juu huko Khan Yunis kusini mwa Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3471739 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/11/12
TEHRAN (IQNA) - Mahakama Kuu ya Trinidad na Tobago imetoa hukumu ya kuwaruhusu kuvaa Hijabu maafisa wa polisi wa kike ambao ni Waislamu.
Habari ID: 3471738 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/11/11
TEHRAN (IQNA)- Mfuko mkubwa zaidi wa Kiislamu wa mafao ya uzeeni umezinduliwa nchini Kenya na kupewa jina la Salih.
Habari ID: 3471736 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/11/10
TEHRAN (IQNA)- Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limetahadharisha kuhusu mpango wa utawala wa Saudi Arabia kuwanyonga wafungwa 12 Waislamu wa madhehebu ya Shia Ithnashariya.
Habari ID: 3471735 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/11/09
TEHRAN (IQNA) -Zaidi ya nusu ya Wayemen, takribani watu milioni 14, wanakabiliwa na baada la njaa kutokana na hujuma ya kijeshi inayoongozwa na Saudia dhidi ya taifa hilo masikini zaidi katika bara Arabu.
Habari ID: 3471734 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/11/08
TEHRAN (IQNA) - Mtume wa Mwisho wa Mwenyezi Mungu, Muhammad al Mustafa SAW aliaga dunia tarehe 28 Safar mwaka wa 11 Hijiria katika mji mtakatifu wa Madina akiwa na umri wa miaka 63 na kuzikwa katika mji huohuo.
Habari ID: 3471733 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/11/07
TEHRAN (IQNA)- Maulamaa na Waislamu wa matabaka mbali mbali wa madhehebu ya Sunni nchini Iran wameungana na wenzao wa Kishia kufanya ziara katika Haram ya Imam Ridha AS , mmoja wa wajukuu wa Bwana Mtume Muhammad SAW ambaye pia ni Imam wa Nane wa Waislamu wa Kishia.
Habari ID: 3471732 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/11/07
TEHRAN (IQNA)- Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani ya walemavu wa macho yamemalizika Jumapili mjini Tehran kwa kuteuliwa wawakilishi wa Iran katika Awamu ya Nne ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Walemavu wa Macho.
Habari ID: 3471731 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/11/06
TEHRAN (IQNA)- Awamu ya tatu ya mashindano ya kimataifa ya Qur'ani maalumu kwa wanawake yameanza Jumapili mjini Dubai katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).
Habari ID: 3471730 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/11/05
TEHRAN (IQNA)- Taasisi ya Kutoa Kutoa Mafunzo ya Qur'ani Kupitia Intaneti nchini Kuwait imetangaza kuwa itaandama mafunzo zaidi ya Qur'ani kwa lugha mbali mbali.
Habari ID: 3471728 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/11/04
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, kudidimia nguvu na uwezo wa Marekani ni ukweli ambao wataalamu duniani wameafiki.
Habari ID: 3471727 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/11/03
TEHRAN (IQNA)- Wanafunzi wa Chuo cha Kuhifadhi Qur'ani Tukufu cha Idlib, Syria wamehitimu katika sherehe ambayo iliashiria kurejea hali ya kawaida katika baada ya eneo hilo kukumbwa kwa muda mrefu.
Habari ID: 3471726 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/11/01
TEHRAN (IQNA)- Jeshi la Nigeria limeua shahidi Waislamu 34 waliokuwa wakishiriki katika maadhimisho ya Arobaini ya Imam Hussein AS.
Habari ID: 3471725 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/10/31
TEHRAN (IQNA)- Wafanyaziara takribani milioni 15 wamewasili mjini Karbala Iraq kwa lengo la kushiriki Arobaini ya mjukuu wa Bwana Mtume Muhammad SAW, Imam Hussein AS.
Habari ID: 3471723 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/10/29
TEHRAN (IQNA)-Waziri wa Wakfu nchini Misri amesema wizara yake haitaruhusu makundi yenye misimamo mikali ya kidini kuanzisha vituo vya kuhifadhi Qur’ani nchini humo.
Habari ID: 3471722 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/10/28
TEHRAN (IQNA)-Mashindano ya Qur'ani Tukufu maalumu kwa wale waliosilimu yatafanyika mjini Dubai nchini UAE.
Habari ID: 3471720 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/10/27
TEHRAN (IQNA)- Msikiti wa Al-Nejashi nchini Ethiopia, unaoaminika kuwa msikiti kwa kwanza kujengwa barani Afrika, umekarabatiwa.
Habari ID: 3471718 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/10/24
TEHRAN (IQNA)- Watawala wa jimbo lenye idadi kubwa zaidi ya watu nchini India wamebadilisha jina la Kiislamu wa mji wa kihistoria ambao unajulikana kama Allahabad na kuupachika jina bandia la Kibaniani au Kihindu.
Habari ID: 3471714 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/10/20
TEHRAN (IQNA)-Moja ya nakala ndogo zaidi za Qur’ani duniani imewekwa katika maonyesho katika mji wa Kusadasi, wilayani Aydin nchini Uturuki.
Habari ID: 3471712 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/10/19
TEHRAN (IQNA)-Kongamano moja la kimataifa limefanyika Cairo, Misri kwa lengo la kujadili kadhia ya utoaji wa fatuwa katika ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3471711 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/10/18