TEHRAN (IQNA)-Huku mvua za monsoon ziliendelea kunyesha katika kambi kubwa za wakimbizi Waislamu wa jamii ya Rohingya nchini Bangladesh, Umoja wa Mataifa umeonya kuwa maisha ya wakimbizi 200,000 yako hatarini.
Habari ID: 3471562 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/17
TEHRAN (IQNA)- Qarii wa Qur’ani kutoka Iran, Ustadh Ali Asghar Shoaei, ameibuka mshindi katika duru ya 11 ya Mashindano ya Qur’ani ya mubashara kupitia Televisheni ya Kimataifa ya Al Kawthar.
Habari ID: 3471561 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/16
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa: Tatizo la utawala wa Kizayuni wa Israel ni kuwa hauna uhalali, ni utawala ambao msingi wa uundwaji wake ni batili, kwa taufiki yake Mwenyezi Mungu na kwa hima ya mataifa ya Waislamu, utawala huo kwa yakini utaangamia."
Habari ID: 3471560 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/15
TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewatumia mkono wa Idi viongozi wa nchi za Kiislamu na Waislamu wote kwa mnasaba wa sikukuu ya Idul Fitr.
Habari ID: 3471559 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/15
TEHRAN (IQNA)- Waislamu wawili wamethibitishwa kuuawa kwa kudungwa visu wakiwa msikitini katika wakiwa katika Itikaf, baada ya mtu mmoja kuvamia eneo hilo la ibada nchini Afrika Kusini.
Habari ID: 3471558 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/15
TEHRAN (IQNA) -Misikiti nchini Sweden ilishambuliwa mara 38 mwaka 2017, ikiwa ni ongezeko la mara 10 ya vitendo hivyo vya chuki dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3471557 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/14
TEHRAN (IQNA)- Waislamu zaidi ya milioni mbili walifurika katika Msikiti Mkuu wa Makka (al-Masjid al-Haram) na Msikiti wa Mtume SAW (al-Masjid an-Nabawi) mjini Madina Jumatatu.
Habari ID: 3471556 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/13
TEHRAN (IQNA)- Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) limelaani hatua ya ndege za kivita za Saudi Arabia kudondosha mabomu katika kituo kimoja cha afya cha kuwatibu watu wenye kipindupindu nchini Yemen ambacho kinasimamiwa na shirika hilo.
Habari ID: 3471555 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/13
TEHRAN (IQNA)- Wakuu wa utawala wa China wanawashikilia kwa nguvu Waislamu karibu milioni 1 katika kambi zenye msongamano mkubwa ambapo wanafunzwa kwa lazima itikadi za Kikomunisti.
Habari ID: 3471554 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/12
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema hatima ya Palestina inapaswa kuamuliwa na Wapalestina wenyewe kupitia kura ya maoni yenye kuwajumuisha Wapalestina Waislamu, Wakristo na Mayahudi ambao wana asili na waliishi katika ardhi ya jadi ya Palestina.
Habari ID: 3471553 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/11
TEHRAN (IQNA)- Wakimbizi Waislamu wa jamii ya Rohingya ambao wamekimbia ukandamizaji katika ardhi zao za jadi nchini Myanmar wamebainisha masikitiko yao baada ya Umoja wa Mataifa kushindwa kuwatetea wapate haki ya uraia.
Habari ID: 3471552 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/11
Rais wa Uturuki atahadharisha
TEHRAN (IQNA) – Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki amemkosoa Kansela Sebastian Kurz wa Austria kufuatia uamuzi wa serikali yake kufunga misikiti saba na kuwatimua maimamu 40.
Habari ID: 3471550 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/10
TEHRAN (IQNA) - Jumatano iliyopita , Rais Donald Trump wa Marekani aliandaa katika Ikulu ya White House kile alichodai kuwa ni dhifa ya futari kwa ajili ya Waislamu, lakini la kushangaza ni kuwa Waislamu wa Marekani hawakualikwa.
Habari ID: 3471549 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/09
TEHRAN (IQNA)- Maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds (Jerusalem) yamefanyika leo kote duniani kwa lengo la kuunga mkono ukombozi wa Palestina na kulaani utawala ghasibu wa Israel.
Habari ID: 3471547 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/08
Rais Hassan Rouhani wa Iran
TEHRAN (IQNA)- Rais Hassan Rouhani amesema: Siku ya Quds ni siku ya kihistoria ya kupaza mayowe dhidi ya madhalimu na kulihami taifa linalodhulumiwa ambalo kwa muda wote wa miaka 70, watu wake wamehamishwa kidhulma kwenye nyumba na makazi yao.
Habari ID: 3471546 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/07
TEHRAN (IQNA)- Mmarekani Ahmad Burhan ametangazwa mshindani wa Mashindano ya 22 ya Kuhifadhi Qur’ani ya Dubai.
Habari ID: 3471545 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/06
TEHRAN (IQNA)-Tarehe 23 Ramadhani takribani miaka 1399 iliyopita Ali bin Abi Talib AS Khalifa wa baada ya Mtume Muhammad SAW na mmoja wa watu wa Nyumba Tukufu ya Bwana Mtume alikufa shahidi.
Habari ID: 3471544 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/05
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyed Ali Khamenei amesema kuwa ndoto waliyo nayo maadui kuhusu mapatano ya nyuklia ya Iran yanayojulikana kama JCPOA kamwe haitotimia.
Habari ID: 3471543 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/04
TEHRAN (IQNA)- Mshindi katika Mashindano ya Kuhifadhi Qur'ani ya eneo la Somaliland nchini Somalia ametunukiwa zawadi ya gari.
Habari ID: 3471542 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/03
TEHRAN (IQNA)- Washindi wa Mashindano ya 15 ya Qur'ani Tukufu ya Lagos nchini Nigeria wametunukiwa zawadi huku Waislamu nchini humo wakitahadahrishwa kuhusu athari mbaya za mitandao ya kijamii.
Habari ID: 3471541 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/03