TEHRAN (IQNA)- Utawala wa China unawatenganisha watoto Waislamu na wazazi wao ambao wanashikiliwa katika gereza au kambi maalumu za mafunzo ya Kikomunisti.
Habari ID: 3471682 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/09/21
TEHRAN (IQNA) Mamilioni ya Waislamu, hasa Mashia, wamejitokeza katika maeneo mbali mbali kote duniani kukumbuka tukio chungu la Siku ya Ashura, siku ambayo aliuawa shahidi mjukuu wa Mtume Muhammad SAW, Imam Hussein AS.
Habari ID: 3471681 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/09/20
Kiongozi wa Hizbullah katika Majlis ya Muharram
TEHRAN (IQNA) Kiongozi wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema Marekani ndiyo inayorefusha uwepo wa baadhi ya mabaki ya magaidi wa ISIS au Daesh katika baadhi ya maeneo ya kaskazini mashariki mwa Syria.
Habari ID: 3471680 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/09/20
TEHRAN (IQNA)- Polisi katika eneo la West Yorkshire Uingereza wamezindua sare ya maafisa wa kike Waislamu ambayo inazingatia mafundisho ya Kiislamu ya mavazi yaliyo na staha.
Habari ID: 3471679 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/09/19
TEHRAN (IQNA)- Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limefyatua kombora kuelekea katika uzio wa Ghaza na kuua shahidi Wapalestina wawili na kujeruhi wengine kadhaa.
Habari ID: 3471678 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/09/18
TEHRAN (IQNA)- Mgogoro kuhusu umiliki wa Msikiti Mkuu wa Crodoba nchini Uhispania unaendelea kutokota baada ya kamati iliyoteuliwa na Baraza la Mji wa Cordoba kupinga hatua ya Kanisa Katoloki kuchukua udhibiti wa msikiti huo.
Habari ID: 3471677 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/09/17
Vita vya Saudia dhidi ya Yemen
TEHRAN (IQNA)- Idadi kubwa ya Wayemen sasa wanalazimika kula majani ya msituni kutokana na kusakamwa na baa la njaa ambalo limesababishwa na hujuma ya kivita ya Saudia dhidi ya nchi hiyo masikini zaidi ya Kiarabu.
Habari ID: 3471675 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/09/16
TEHRAN (IQNA)- Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Kenya wanaendelea na maombolezo ya mwezi Muharram katika kukumbuka kuuhawa Shahidi Imam Hussein AS na wafuasia wake katika jangwa la Karbala.
Habari ID: 3471672 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/09/16
Inna Lillah wa Inna Ilayhi Rajioun
TEHRAN (IQNA)-Qarii na mwanazuoni mtajika wa Qur'ani Tukufu nchini Libya na katika ulimwengu wa Kiislamu Sheikh Mustafa Qashqash amefariki dunia na kuzikwa Ijumaa katika mji mkuu wa nchi hiyo, Tripoli.
Habari ID: 3471671 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/09/15
TEHRAN (IQNA)- Wanajeshi wa utawala Saudi Arabia wamewashambulia Waislamu wa madhehebu ya Shia ambao walikuwa wakishiriki katika maombolezo ya Mwezi wa Muharram.
Habari ID: 3471670 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/09/14
Katika kipindi cha mwaka moja
TEHRAN (IQNA)- Kituo cha Uchapishaji Qur'ani cha 'Malik Fahad' nchini Saudi Arabia kimetangza kuwa kimesambaza nakala milioni 18 za Qur'ani Tukufu mwaka uliopita wa Hijria Qamaria.
Habari ID: 3471669 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/09/13
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Myanmar, Aung San Suu Kyi, amekwepa kuhudhuria kikao cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa mjini New York wiki ijayo huku akiendelea kulaumiwa kutokana na mauaji ya kimbari ya Waislamu wa jamii ya Rohingya nchini humo.
Habari ID: 3471668 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/09/12
TEHRAN (IQNA) - Msikiti mmoja umehujumiwa na kuharibiwa kaskazini magharibi mwa Ujerumani katika jimbo la Lower Saxony ambapo maandishi ya kibaguzi yamenadikwa katika kuta na nyama ya nguruwe kuachwa katika jengo la msikiti.
Habari ID: 3471667 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/09/11
TEHRAN (IQNA)- Takwimu zinaonesha kuwa, asilimia 76 ya vitendo vya chuki dhidi ya Waislamu nchini Ubelgiji mwaka 2017 vilihusu kushambuliwa wanawke Waislamu wanaovaa Hijabu.
Habari ID: 3471665 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/09/10
TEHRAN (IQNA)- Sheikh Wajdi Mubarak mmoja katia ya wanazuoni wa Kishia nchini Saudi Arabia ametaka kuwepo ushirikiano kamili baina ya waumini na maafisa wa usalama nchini humo katika maadhimisho ya Siku ya Ashura.
Habari ID: 3471664 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/09/09
TEHRAN (IQNA) - Wanaakiolojia huko Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE au Imarati) wamegundua msikiti unaokadiriwa kuwa uliojengwa miaka 1,000 iliyopita katika eneo unakojengwa Msikiti Mkuu wa Sheikh Khalifa mjini Al Ain karibu na mpaka wa nchi hiyo na Oman.
Habari ID: 3471663 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/09/08
Kiongozi Muadhamu katika mkutano na rais wa Uturuki
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema hitajio muhimu zaidi katika ulimwengu wa Kiislamu hii leo ni ukuruba zaidi na mshikamano wa nchi za Kiislamu.
Habari ID: 3471662 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/09/07
TEHRAN (IQNA)- Kongamano lenye anuani ya "Mtume wa Rahma' limefanyika nchini Uganda kwa ushirikiano wa Kituo cha Utamaduni cha Iran, Shirika la Utangazaji lwa Uganda (UBC) na Baraza Kuu la Waislamu Uganda (UMSC).
Habari ID: 3471661 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/09/06
TEHRAN (IQNA)- Bima ya Kiislamu (Takaful) nchini Kenya imeshuhudia ustawi wa kasi zaidi miongoni mwa mashirika madogo ya bima nchi humo katika mwaka wa 2017.
Habari ID: 3471660 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/09/05
TEHRAN (IQNA) –Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetangaza masharti kwa wale wanaotaka kushiriki katika Duru ya 4 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Walemavu wa Macho.
Habari ID: 3471659 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/09/04