iqna

IQNA

satalaiti
Ustawi wa Iran
TEHRAN (IQNA)- Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imezindua mfumo mpya wa makombora ya kujihami ya masafa marefu ya Bavar (Kujiamini) 373 na pia imefanyia majaribio kombora jipya la Sayyyad B4 leo Jumapili.
Habari ID: 3476044    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/06

Kamanda Mkuu wa IRGC
TEHRAN (IQNA)- Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema kuwa na uwezo wa kujirushia satalaiti katika anga za mbali ni kigezo cha nchi iliyostawi duniani.
Habari ID: 3475023    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/08

Ustawi wa teknolojia Iran
TEHRAN (IQNA)- Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limerusha kwa mafanikio makubwa satalaiti ya Nour-2 ya kijeshi ya Iran katika anga za mbali.
Habari ID: 3475022    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/08

IRGC imerusha satalaiti iliyoandikwa aya ya Qurani Tukufu
TEHRAN (IQNA)- Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limerusha kwa mafanikio satalaiti ya kwanza ya kijeshi ya Iran katika anga za mbali.
Habari ID: 3472691    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/22