Imamu wa saba wa Waislamu wa madhehebu ya Shia duniani, ni Imam Musa bin Ja'afar Al-Kadhim (AS) ambaye ana lakabu ya Babul Hawaij, kwa sababu ya watu kutasawali kwa Mwenyezi Mungu Mola Mweza kupitia kwake.
Habari ID: 3473071 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/16