IQNA – Moja ya kumbukumbu za kipekee katika ulimwengu wa Qur’ani ni usomaji wa kihistoria wa qari mashuhuri wa Misri, marehemu Ustadh Abdul Basit Abdul Samad, katika Haram ya Imam Musa Kadhim (AS) mjini Kadhimiya, Baghdad, mwaka 1956.
Habari ID: 3481606 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/02
Imamu wa saba wa Waislamu wa madhehebu ya Shia duniani, ni Imam Musa bin Ja'afar Al-Kadhim (AS) ambaye ana lakabu ya Babul Hawaij, kwa sababu ya watu kutasawali kwa Mwenyezi Mungu Mola Mweza kupitia kwake.
Habari ID: 3473071 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/16