iqna

IQNA

emir
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi wa Kuwait Emir Sheikh Sabah Al Ahmad Al Sabah amefariki dunia na punde baada ya hilo kubainika, televisheni ya nchi hiyo ilikatiza matangazo ya kawaida na kuanza kurusha hewani qiraa ya Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3473215    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/29

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon, amelaani vikali shambulizi la kigaidi kwenye Msikiti Mkuu wa Kano, Nigeria jana Ijumaa, ambalo limeripotiwa kupelekeka kuuawa watu zaidi ya 120 na kuwajeruhi wanaokisiwa kuwa mamia ya wengine.
Habari ID: 2613079    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/11/29