IQNA-Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, ametoa wito wa kuimarisha zaidi umoja na huruma miongoni mwa mataifa ya Kiislamu. Katika ujumbe wa pongezi kwa wenzake Waislamu kwa mnasaba wa sikukuu ya Idul Fitr, inayoadhimisha baada ya kumalizika mwezi mtukufu wa Ramadhani,
Habari ID: 3480472 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/30
IQNA – Dhifa ya futar imeandaliwa Jumatatu na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, kwa ajili ya mabalozi na wawakilishi wa nchi za Kiislamu walioko Tehran.
Habari ID: 3480401 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/19
TEHRAN (IQNA) – Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria Walid Muallem amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 79, shirika rasmi la habari nchini humo SANA, limeripoti.
Habari ID: 3473366 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/16
Waziri wa Mambo ya Nje wa Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) ameyashambulia vikali makundi ya kigaidi na kitakfiri katika eneo la Mashariki ya Kati akisema kuwa makundi hayo yanaonyesha picha mbaya kwa dini tukufu ya Kiislamu.
Habari ID: 1455492 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/09/30